Trending

Nilijua nimemaliza kuona maajabu

Sasa tangu lini Twiga wanafugwa jmn mpaka wakaenda kula mazao hapo kunanamna aulizwe kwann anafuga Twiga Jana usk nilibaksha ugal nikasema ngoja niuweke kwenye frij ili usiharibike niule na chai asubh, palipo kuch ,nmekuta ugal wa barid had umeganda nikaona ngoj niuchemshe , nimeuchemsha umekuwa uji ,ikabid ninywe chai na uji..!! Unakuta mtu umekunja zako nne ndan ya mwewe unaskilizia Wings Speed, Barometric Pressure, Temperature Mara Wanaingia wale kila kituo wanaanza kutangaza bidhaa zao na dawa asee mara wagawe vipeperushi vyao mara miswaki yenye kifuniko asee wananikataga kabisaa aanii

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form